| swahili
00:30
Afrika
Rais Samia: ”Serikali kujenga uwanja wa michezo Msoga”
Rais Samia aahidi kujenga uwanja wa michezo ili kutoa heshima maalum kwa uongozi wa aliyekuwa rais, Jakaya Kikwete
29 Septemba 2025

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambae pia ni mgombea urais wa Tanzania kupitia chama tawala CCM amesema kuwa katika vitu ambayo serikali yake itafanya itakapoingia madarakani baada ya uchaguzi ni kujenga uwanja mkubwa wa michezo katika eneo Msoga wilaya ya Chalinze, mkoani Pwani.

Rais Samia amesema kufanya hivyo itakuwa ni kutoa heshima maalum kwa uongozi wa aliyekuwa rais wa awamu ya nne

Tazama Video zaidi
ADC yaahidi kupunguza bei ya mchele Zanzibar
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi asema yapo mazuri yaliyofanywa na Samia
Rais Samia: Twataka ushindi wa heshima
OMO: Utawala bora utaleta fursa Pemba
Tofauti ya uchaguzi mkuu Tanzania 2025
Kiti cha kipekee cha Wasamburu
Urais Tanzania: Gombo Samandito
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki