| swahili
01:55
Urais Tanzania: Gombo Samandito
Katika historia ya siasa na kinyang’anyiro cha uchaguzi nchini Tanzania, unapotaja vyama vya upinzani huwezi kukamilisha orodha bila kutaja Chama cha Wananchi – Civic United Front (CUF).
16 Septemba 2025

Katika historia ya siasa na kinyang’anyiro cha uchaguzi nchini Tanzania, unapotaja vyama vya upinzani huwezi kukamilisha orodha bila kutaja Chama cha Wananchi – Civic United Front (CUF).

Hapo kabla CUF imeshiriki katika Uchaguzi Mkuu mara 6, ni mara 5 tu ndio ilisimika mgombea wa Urais na kushindwa mara zote. Na huyu ndiye Gombo Samandito Gombo aliyeteuliwa kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi wa mwaka 2025.

Tazama Video zaidi
ADC yaahidi kupunguza bei ya mchele Zanzibar
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
Rais Samia: ”Serikali kujenga uwanja wa michezo Msoga”
Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi asema yapo mazuri yaliyofanywa na Samia
Rais Samia: Twataka ushindi wa heshima
OMO: Utawala bora utaleta fursa Pemba
Tofauti ya uchaguzi mkuu Tanzania 2025
Kiti cha kipekee cha Wasamburu
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki