| swahili
00:21
Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi asema yapo mazuri yaliyofanywa na Samia
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, Haji Ambar Khamis, amekiri kuwa yapo mazuri mengi yaliyofanywa na serikali ya nchi hiyo, ikiwemo utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, lakini ameongeza kusema kuwa,
25 Septemba 2025

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, Haji Ambar Khamis, amekiri kuwa yapo mazuri mengi yaliyofanywa na serikali ya nchi hiyo, ikiwemo utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, lakini ameongeza kusema kuwa, baadhi ya watendaji sio wazuri hivyo wanampotosha Rais.

Tazama Video zaidi
ADC yaahidi kupunguza bei ya mchele Zanzibar
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
Rais Samia: ”Serikali kujenga uwanja wa michezo Msoga”
Rais Samia: Twataka ushindi wa heshima
OMO: Utawala bora utaleta fursa Pemba
Tofauti ya uchaguzi mkuu Tanzania 2025
Kiti cha kipekee cha Wasamburu
Urais Tanzania: Gombo Samandito
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki