| swahili
02:31
Afrika
Tofauti ya uchaguzi mkuu Tanzania 2025
Tanzania imefanya uchaguzi mara sita tangu kuanzishwa kwa demokrasia ya vyama vingi mwaka 1995.
17 Septemba 2025

Chama Cha Mapinduzi, CCM mara zote kimetangazwa mshindi, hivyo kukifanya kuwa moja ya vyama vya kisiasa vilivyotawala kwa muda mrefu zaidi barani Afrika.

Huku Tanzania ikijiandaa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kuna mambo kadhaa ambayo yanatofautisha uchaguzi huu na uliopita.Tanzania imefanya uchaguzi mara sita tangu kuanzishwa kwa demokrasia ya vyama vingi mwaka 1995.

Chama Cha Mapinduzi, CCM mara zote kimetangazwa mshindi, hivyo kukifanya kuwa moja ya vyama vya kisiasa vilivyotawala kwa muda mrefu zaidi barani Afrika.

Huku Tanzania ikijiandaa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025,  kuna mambo kadhaa ambayo yanatofautisha uchaguzi huu na uliopita.

Tazama Video zaidi
ADC yaahidi kupunguza bei ya mchele Zanzibar
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
Rais Samia: ”Serikali kujenga uwanja wa michezo Msoga”
Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi asema yapo mazuri yaliyofanywa na Samia
Rais Samia: Twataka ushindi wa heshima
OMO: Utawala bora utaleta fursa Pemba
Kiti cha kipekee cha Wasamburu
Urais Tanzania: Gombo Samandito
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki