| swahili
01:28
Afrika
Kiti cha kipekee cha Wasamburu
Katika jamii ya Samburu, kuna kiti ‘kitakatifu’ ambacho ni sehemu ya heshima, mila, na sheria.
17 Septemba 2025

Tamaduni hizi zimekuwa zikitunzwa kwa miaka mingi. Ni kiti lakini hakikaliwi na wote kwa sababu ni wachache tu ndio walioteuliwa kukikalia, huku wanawake, vijana na watoto wakipigwa marufuku hata kukisogelea. Je, ni kitu gani kinachofanya kiti hiki kiwe cha kipekee?

Tazama Video zaidi
ADC yaahidi kupunguza bei ya mchele Zanzibar
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
Rais Samia: ”Serikali kujenga uwanja wa michezo Msoga”
Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi asema yapo mazuri yaliyofanywa na Samia
Rais Samia: Twataka ushindi wa heshima
OMO: Utawala bora utaleta fursa Pemba
Tofauti ya uchaguzi mkuu Tanzania 2025
Urais Tanzania: Gombo Samandito
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki