tokea masaa 11
Israel imefanya takriban mashambulizi matatu ya anga katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, mara tu baada ya agizo hilo la Netanyahu kutolewa. Kwa mujibu wa shirika la uokoaji la kiraia la Palestina katika Ukanda wa Gaza
“Jeshi la uvamizi sasa linashambulia Gaza kwa takriban mashambulizi matatu ya anga licha ya makubaliano ya usitishaji mapigano,” alisema msemaji wa shirika hilo, Mahmud Bassal, akizungumza na shirika la habari la AFP.
Zilizopendekezwa
Walioshuhudia mashambulizi hayo wamesema milio ya mizinga na milipuko imesikika na kuonekana katika Jiji la Gaza na maeneo mengine ya ukanda huo.
CHANZO:TRT World










