SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Wazir Khamsin
Senior Editor, TRT Afrika
Senior Editor, TRT Afrika
Makala za Mwandishi
Alassane Ouattara wa Cote d’Ivoire
Alassane Dramane Ouattara ni Rais wa Cote d’Ivoire ambaye amekuwa rais wa taifa hilo la Afrika Magharibi tangu mwaka 2010 na hivi majuzi ametangaza kugombea tena katika uchaguzi wa Urais wa mwezi Oktoba.
2 dk kusoma
Rais wa Congo Denis Sassou Nguesso
Rais wa Jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso kwa ujumla amekuwa kiongozi wa nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 40.
2 dk kusoma
Maisha ya mkali wa mieleka duniani Hulk Hogan
Watu mbalimbali duniani wamekuwa wakitoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha mkali wa mieleka WWE Hulk Hogan aliyefariki dunia siku ya Alhamisi akiwa na umri wa 71 kutokana na mshtuko wa moyo.
1 dk kusoma
Nini Rais Ruto afanye kutatua changamoto za vijana Kenya?
Maandamano ya Gen Z nchini Kenya yameibua maswali mengi, kubwa ikiwa utendaji kazi wa serikali lakini zaidi ahadi zilizotolewa na uongozi wa Rais William Ruto wakati wa kampeni za uchaguzi 2022.
3 dk kusoma
Sir Alex Ferguson: Shujaa wa Manchester United
Bila shaka unamkumbuka Sir Alex Ferguson au Babu Fergie wa Manchester United.
2 dk kusoma
Tamthilia ya ‘Ndoto Bandia’ inavyoangazia uhalisia katika jamii
Tamthilia ya kuvutia ya ‘Ndoto Bandia’, lakini pia imekuwa ya uhalisia kwa wanafunzi wa Chuo kimoja Kikuu nchini Misri. Wanafunzi hao wamekuwa wakiangazia masuala ya kijamii kupitia maigizo hayo waliyoyapa jina la ‘Ndoto Bandia’.
3 dk kusoma
Uwezo wa kiongozi wa kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei
Unafahamu kuwa nafasi ya kiongozi wa kidini nchini Iran ina uwezo mkubwa kuliko hata ile ya rais wa nchi hiyo?
2 dk kusoma
Je, Nuno Mendes ndiye kiboko ya Lamine Yamal?
Tarehe 8 Juni 2025 Ureno ilitangazwa mabingwa wa ligi ya mataifa ya Ulaya Nations League kwa mara ya pili, walipowafunga Hispania kupitia mikwaju ya penati katika fainali hiyo.
2 dk kusoma
Faida ya mahujaji kuzikwa katika miji mitukufu
Msimu wa Waislamu kwenda Makkah nchini Saudi Arabia umefika, na tayari baadhi ya waumini wameanza safari hiyo kuelekea katika ardhi tukufu kwa ajili ya kutekeleza ibada ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika dini ya Kiislamu.
2 dk kusoma
Samatta:’Captain Diego’ wa Tanzania
Mbwana Ally Samatta ni mwamba ambaye si mgeni kwa wengi ambao ni wapenzi wa soka na amekuwa mchezaji wa kulipwa akicheza katika mataifa mbalimbali. Raia wa kwanza wa Tanzania kucheza katika Ligi Kuu ya England.
2 dk kusoma