| Swahili
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
04:43
Maisha
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Fundi cherehani alipoteza uwezo wa kuona mwaka 2014 baada ya kuugua ugonjwa wa trakoma, ambao hutanua mboni za macho.
3 Desemba 2025

Ukipita karibu na ofisi yake ya kushonea, huenda usigundue kuwa mwendeshaji wa ofisi hiyo ana changamoto ya kuona.

“Nimefanya kazi hii kwa miaka 34 sasa, na ndiyo kazi pekee ninayoijua kwa kweli,” anasema Charles Kibe Mwangi, fundi cherehani mwenye changamoto ya kuona, katika mahojiano yake na TRT Afrika.

Huku ulimwengu ukigeuka giza mbele ya macho yake, Charles aligeukia fimbo yake ya ufagio, kama rafiki yake na tegemeo lake pekee anapojaribu kutembea kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Hata hivyo, hakuruhusu ulemavu wake kuwa kizuizi kwake katika shughuli za kumpatia riziki yake ya kila siku, yaani ushonaji.

Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK