| Swahili
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
03:13
Afrika
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Serikali ya Tanzania imegundua hifadhi kubwa ya gesi adimu ya Helium, inayotumika katika sekta mbalimbali ikiwemo huduma za afya, utafiti wa anga, na sekta ya ulinzi.
4 Desemba 2025

Ingawa uvunaji wa madini hayo haujaanza, lakini fursa za ajira na ukuaji wa miundombinu muhimu kama vile vituo vya afya umeanza kuonekana kwa wananchi ambao awali hawakupata huduma hizo.

Iwapo uchimbaji huo utafanyika, basi Tanzania itakuwa miongoni mwa mataifa yanayochimba Helium. Hata hivyo, wadau mbalimbali, wanaitaka Serikali ya Tanzania kuweka mkakati madhubuti wa kuhakikisha mradi huo, unakuwa na tija kwa wananchi.

Tazama Video zaidi
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK