| Swahili
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
04:05
Maisha
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Siku moja mwaka wa 1981, mfanyakazi mmoja wa forodha mjini Goma, alikamata na kuzuia shehena ya mchele ulioharibika kutoka Rwanda, iliyokusudiwa kusambazwa kwawatu maskini.
3 Desemba 2025

Walijaribu kumshawishi kwa Rushwa , na tishio la vifo.

Lakini alikataa.

Floribert Bwana Chui Bin Kositi aliangamiza ule mchele mbovu na hapo kuweka jina lake katika kumbukumbu ya historia kutokana na msimamo wake,

Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK