| Swahili
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
02:49
Afrika
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Je, unafahamu kuwa Afrika ndilo bara la pili duniani kwa uzalishaji wa asali baada ya Asia?
3 Desemba 2025

Takwimu zinaonyesha kuwa Afrika ilizalisha tani 450,000 za asali, ikiwa ni na takriban asilimia 20 ya uzalishaji wa kimataifa.

Nchi tano zinazoongoza kwa uzalishaji wa asali barani Afrika ni; Ethiopia, Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda.

Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK