| Swahili
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika  kusafiria
02:47
Siasa
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Pasipoti ya muda ilitolewa kwa Raila na vijana wengine wawili, kabla ya Tanganyika kuungana na Zanzibar mwaka 1964 na kuzaliwa Tanzania.
3 Desemba 2025

Akizungumza enzi za uhai wake katika harusi moja jijini Dar es Salaam, Tanzania, mwezi wa Juni 2025, Raila Odinga alisimulia jinsi alivyowahi kusafiri kwa kutumia hati ya kusafiria ya iliyokuwa Tanganyika wakati huo (hivi sasa Tanzania), kuelekea Ulaya kwa ajili ya masomo.

Hii ni baada ya serikali ya kikoloni ya wakati huo nchini Kenya kukataa kumpa pasipoti

Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK