00:48
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amemnadi Kiza Mayeye, mgombea wa Kigoma Kaskazini kupitia chama hicho, akisisitiza umuhimu wa kushinda majimbo yote ya Mkoa wa Kigoma kwa ajili ya kuleta mabadiliko.
11 Septemba 2025

Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amemnadi Kiza Mayeye, mgombea wa Kigoma Kaskazini kupitia chama hicho, akisisitiza umuhimu wa kushinda majimbo yote ya Mkoa wa Kigoma kwa ajili ya kuleta mabadiliko.

Akizungumza Septemba 08, 2025, katika uzinduzi wa kampeni Kigoma Kaskazini, Zitto alisema Kigoma bado iko nyuma kimaendeleo, hivyo ushindi wa ACT katika mkoa mzima ni muhimu.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
CCM yazindua kampeni kwa kishindo