| swahili
01:23
Afrika
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
Mambo muhimu kuhusu uchaguzi wa Tanzania 2025
22 Oktoba 2025

Uchaguzi huu ni wa saba tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania, mnamo mwaka 1992.

Unafahamu kwamba wananchi wa Zanzibar hupiga kura tano?

Wazanzibari humpigia kura Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo na diwani.

Tofauti na nchi nyengine, nchini Tanzania matokeo ya urais hayapingwi kisheria.

Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
Kampeni zakamilika Tanzania
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tanzania: Wito wa amani watolewa kwa Uchaguzi Mkuu 2025
Safari ya Urais ya Raila Odinga