| Swahili
Kijiji ambacho wanaume wote wamepigwa marufuku
06:21
Afrika
Kijiji ambacho wanaume wote wamepigwa marufuku
Kaskazini mwa Kenya kuna kijiji ambacho wanaume wamepigwa marufuku kabisa kuingia au kuishi katika kijiji hicho, na mwanaume yeyote atakayethubutu kuingia basi atakabiliwa na adhabu kali kutoka kwa wanawake.
30 Desemba 2025

Kijiji hicho cha siri, kilichojengwa na kutawaliwa kikamilifu na wanawake kwa zaidi ya miaka 30 sasa, wakazi wake ni wanawake ambao wamepitia masaibu mbalimbali katika maisha yao.

Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya