| Swahili
Kampeni zakamilika Tanzania
01:11
Kampeni zakamilika Tanzania
Raia katika visiwa vya Pemba na Unguja wapo tayari kushiriki uchaguzi siku ya Jumanne Oktoba 28, 2025.
27 Oktoba 2025

Raia katika visiwa vya Pemba na Unguja wapo tayari kushiriki uchaguzi siku ya Jumanne Oktoba 28, 2025.

Tofauti na Tanzania bara, zoezi la upigaji kura visiwani Zanzibar hufanyika mapema, huku ukihusisha watendaji wanaosimamia majukumu ya uchaguzi siku ya uchaguzi.

Tazama Video zaidi
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi
Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu