| swahili
01:11
Kampeni zakamilika Tanzania
Raia katika visiwa vya Pemba na Unguja wapo tayari kushiriki uchaguzi siku ya Jumanne Oktoba 28, 2025.
27 Oktoba 2025

Raia katika visiwa vya Pemba na Unguja wapo tayari kushiriki uchaguzi siku ya Jumanne Oktoba 28, 2025.

Tofauti na Tanzania bara, zoezi la upigaji kura visiwani Zanzibar hufanyika mapema, huku ukihusisha watendaji wanaosimamia majukumu ya uchaguzi siku ya uchaguzi.

Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tanzania: Wito wa amani watolewa kwa Uchaguzi Mkuu 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
Safari ya Urais ya Raila Odinga