| swahili
00:47
Afrika
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
30 Oktoba 2025

Serikali ya Tanzania imewaagiza watumishi wa umma na wanafunzi kubaki nyumbani siku ya Alhamisi, siku moja baada ya uchaguzi mkuu uliokumbwa na maandamano ya vurugu kusababisha polisi kutangaza amri ya kutotoka nje jijini Dar es Salaam.

Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
Kampeni zakamilika Tanzania
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tanzania: Wito wa amani watolewa kwa Uchaguzi Mkuu 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
Safari ya Urais ya Raila Odinga