| Swahili
Wanaovaa sketi fupi, suruali za kubana wapigwa faini Tanzania
01:00
Ulimwengu
Wanaovaa sketi fupi, suruali za kubana wapigwa faini Tanzania
Katika kijiji cha Arumeru Tanzania, wanaovaa sketi fupi, suruali za kubana au herini watapigwa faini ya TSh50,000. Pia kijana yeyote mwenye nguvu amepigwa marufuku kutofanya kazi na pia akionekana kuzurura asubuhi bila kazi atapigwa faini ya Sh50,000 nchini Tanzania. Vijana wa kiume pia wamepigwa marufuku kusuka nywele, kunyoa upande mmoja wa kichwa na kubakisha nywele katikati ya kichwa maarufu kiduku.
27 Novemba 2023
Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya