| swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Rais Erdogan wa Uturuki akumbuka miaka 838 ya kutwaliwa kwa Yerusalem
Rais wa Uturuki ameonesha “nia thabiti” ya kuipambania Yerusalem.
Rais Erdogan wa Uturuki akumbuka miaka 838 ya kutwaliwa kwa Yerusalem
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan./Picha:AA
2 Oktoba 2025

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, siku ya Alhamisi alifanya kumbukumbu ya miaka 838 ya kutwaliwa kwa mji wa Yerusalem.

"Katika kumbukumbu hii ya miaka 838, kwa kipekee namkumbuka Saladin Ayyubi na askari zake mashujaa," alisema Erdogan kupitia mtandao wa kijamii wa Uturuki wa NSosyal.

Wakati huo huo, Erdogan alionesha nia thabiti ya kuipambania Yerusalem, akisema kuwa ni urithi kutoka kwa Mtume Muhammad na manabii waliomfuatia.

Yerusalem, pia ikijulikana kama Quds, ni mji wa kwanza wa qibla kwa Waislamu na huchukuliwa kama mji wa tatu Mtakatifu, baada ya Mecca na Medina.

CHANZO:AA
Soma zaidi
Uturuki inamkumbuka Ataturk miaka 87 baada ya kufariki
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki kuzuru Marekani siku ya Jumatatu
Rais Erdogan anatumai Marekani itatimiza ahadi zake kuhusu makubaliano ya ndege za kivita za F-35
Palestina inapongeza amri za kukamatwa dhidi ya maafisa 37 wa Israel kutoka Uturuki kama 'ushindi
Ujumbe wa Erdogan 'Azerbaijan haiko peke yake' ulipelekea ushindi wa Karabakh: Aliyev
Ushindi wa Karabakh wa Azerbaijan kwa amani ya Caucasus: Rais Erdogan
Uturuki yatoa hati ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu, juu ya mashtaka ya mauaji
Erdogan: Uturuki kuharakisha miradi ya kiulinzi kuimarisha ‘maslahi’ na washirika wa Ulaya
Uturuki kuandaa mazungumzo ya Gaza wiki ijayo kufuatia wasiwasi juu ya usitishaji mapigano – Fidan
Mfumo wa ulimwengu wa sasa unazingatia nguvu zaidi ya haki: Mkurugenzi wa TRT
Israel imeigeuza Gaza kuwa vifusi, inawezaji kuwa haina hatia: Erdogan
Uturuki yakashifu unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu Gaza, yatoa wito wa mfumo mpya wa dunia
Hamas haina nuyklia, Israel iko nayo: Erdogan aitaka Berlin ichukue hatua kali dhidi ya Tel Aviv
Erdogan ataka kuona mabadiliko katika uhusiano na EU na ushirikiano wa kikanda alipokutana na Mertz
Ujerumani yatoa wito wa kuunda “ushirikiano wa kimkakati” ili kukabiliana na changamoto za kimataifa
"Marekebisho ya Ulimwengu": Jukwaa la 9 la TRT World kuanza Istanbul likiangazia majadiliano na haki
Erdogan ametangaza washindi wa Tuzo Kuu za Utamaduni na Sanaa za Urais mwaka 2025
Uturuki yaadhimisha miaka 102 tangu kuanzishwa kwa Jamhuri
Uturuki yatoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika mji wa Al Fasher, Sudan
Uturuki na Jordan zasaini makubaliano ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi