| swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Rais Erdogan wa Uturuki alaani shambulizi la Israel dhidi ya msafara wa kupeleka misaada Gaza
"Netanyahu, ambaye ni muuaji wa kimbari anashindwa hata kutoa nafasi kwa ajili ya amani," anasema Rais wa Uturuki Erdogan.
Rais Erdogan wa Uturuki alaani shambulizi la Israel dhidi ya msafara wa kupeleka misaada Gaza
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan./Picha:AA
2 Oktoba 2025

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amelaani “vitendo vya kiharamia” dhidi ya misafara ya kibinadamu inayoelekea Gaza kuwasaidia Wapalestina “wanaonyanyaswa”.

Katika hotuba yake ya Alhamisi wakati wa kikao cha wakuu wa chama cha AK, Erdogan alisema kuwa shambulizi hilo ni ishara kuwa mifumo ya mauaji ya kimbari inaendelea kuficha uhalifu wake huko Gaza.

"Netanyahu, ambaye ni muuaji wa kimbari anashindwa hata kutoa nafasi kwa ajili ya amani," anasema Rais wa Uturuki Erdogan.

Kulingana na rais huyo wa Uturuki, msafara wa Sumud umedhihirisha “uovu unaoendelea Gaza na sura ya kiuaji ya Israel.”

"Hatutowaacha ndugu zetu wa Palestina na tutatumia uwezo wetu kuhakikisha kuwa amani inapatikana," alisema.

Kulingana na Erdogan, mamlaka za Uturuki zinaendelea kufuatilia kinachoendelea na kuchukua hatua stahiki kukakikisha kuwa raia walio kwenye misafara hiyo hawadhuriki.

CHANZO:AA
Soma zaidi
Uturuki inamkumbuka Ataturk miaka 87 baada ya kufariki
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki kuzuru Marekani siku ya Jumatatu
Rais Erdogan anatumai Marekani itatimiza ahadi zake kuhusu makubaliano ya ndege za kivita za F-35
Palestina inapongeza amri za kukamatwa dhidi ya maafisa 37 wa Israel kutoka Uturuki kama 'ushindi
Ujumbe wa Erdogan 'Azerbaijan haiko peke yake' ulipelekea ushindi wa Karabakh: Aliyev
Ushindi wa Karabakh wa Azerbaijan kwa amani ya Caucasus: Rais Erdogan
Uturuki yatoa hati ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu, juu ya mashtaka ya mauaji
Erdogan: Uturuki kuharakisha miradi ya kiulinzi kuimarisha ‘maslahi’ na washirika wa Ulaya
Uturuki kuandaa mazungumzo ya Gaza wiki ijayo kufuatia wasiwasi juu ya usitishaji mapigano – Fidan
Mfumo wa ulimwengu wa sasa unazingatia nguvu zaidi ya haki: Mkurugenzi wa TRT
Israel imeigeuza Gaza kuwa vifusi, inawezaji kuwa haina hatia: Erdogan
Uturuki yakashifu unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu Gaza, yatoa wito wa mfumo mpya wa dunia
Hamas haina nuyklia, Israel iko nayo: Erdogan aitaka Berlin ichukue hatua kali dhidi ya Tel Aviv
Erdogan ataka kuona mabadiliko katika uhusiano na EU na ushirikiano wa kikanda alipokutana na Mertz
Ujerumani yatoa wito wa kuunda “ushirikiano wa kimkakati” ili kukabiliana na changamoto za kimataifa
"Marekebisho ya Ulimwengu": Jukwaa la 9 la TRT World kuanza Istanbul likiangazia majadiliano na haki
Erdogan ametangaza washindi wa Tuzo Kuu za Utamaduni na Sanaa za Urais mwaka 2025
Uturuki yaadhimisha miaka 102 tangu kuanzishwa kwa Jamhuri
Uturuki yatoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika mji wa Al Fasher, Sudan
Uturuki na Jordan zasaini makubaliano ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi