| Swahili
Kuokoa Tembo kwa kuvuka mpaka
01:39
Ulimwengu
Kuokoa Tembo kwa kuvuka mpaka
Tunahimiza jamii zinazoishi karibu na mbuga kuwa na njia za kusuluhisha maswala haya ya migogoro ya kibinadamu na wanyamapori kwa sababu wakati tunapoanza kuonyesha ulimwengu kuwa kuna vita, hatuwezi pia kuwa na watalii. ---- Ni Jim Justus Nyamu. Mkurugenzi Mtendaji, ‘Tembo Neighbor Center’ Mimi pia ndiye kiongozi wa kampeni hii, inayoitwa, ‘Pembe za Ndovu ni za Tembo’.
18 Agosti 2023
Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya