AFRIKA
1 dk kusoma
Cape Verde yaandika historia kwa kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza
Cape Verde iliichapa Eswatini mabao 3-0 siku ya Jumatatu na kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026, hatua inayoiwezesha kushiriki mashindano hayo ya kimataifa kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya taifa hilo.
Cape Verde yaandika historia kwa kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza
Timu ya taifa ya kandanda ya Cape Verde imefuzu kwa Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. /