| swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
FIFA haiwezi kutatua ‘masuala ya siasa za nchi’, asema Infantino
Mwaka 2022, FIFA iliifungua Urusi baada ya majeshi yake kuivamia Ukraine, licha ya Urusi kuandaa fainali ya Kombe la Dunia, hapo awali.
FIFA haiwezi kutatua ‘masuala ya siasa za nchi’, asema Infantino
Rais wa FIFA Gianni Infantino./Picha:Wengine
2 Oktoba 2025

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino amesema kuwa taasisi hiyo haiwezi kutatua ‘siasa za nchi’, licha ya kuendelea kupata shinikizo la kuisimamisha uanachama Israel kufuatia mashambulizi yake dhidi ya Palestina.

Kupitia taarifa yake, Infantino "aligusia umuhimu wa kuimarisha amani na umoja kwenye muktadha wa kinachoendelea Gaza.”

"Kama FIFA, tunatumia mchezo wa soka kuwaleta watu pamoja," alisema Infantino.

"Fikra zetu zipo kwa wale wanaoendelea kuteseka maeneo mbalimbali yaliyokumbwa na machafukio, ila kwa sasa ujumbe mahususi kwa sasa ni umoja na amani."

"FIFA haiwezi kutatua masuala ya nchi, lakini ina wajibu wa kukuza mchezo wa soka ulimwenguni, kwa kufanya nyenzo ya kuunganisha watu," aliongeza.

Mwaka 2022, FIFA iliifungua Urusi baada ya majeshi yake kuivamia Ukraine, licha ya Urusi kuandaa fainali ya Kombe la Dunia, hapo awali.

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Israel yafanya mashambulizi ya anga dhidi ya Gaza na kukiuka makubaliano ya kusitisha vita
Malkia wa zamani wa Thailand Sirikit afariki dunia akiwa na umri 93
Maseneta wa Marekani wanamtaka Trump kuchukua msimamo thabiti dhidi ya unyakuzi wa West Bank
Waziri Mkuu wa Israel amfuta kazi msaidizi wake mkuu wa usalama kwa mtafaruku juu ya Gaza
Mbu wapatikana nchini Iceland kwa mara ya kwanza
Kiongozi Mkuu wa Iran, Khamenei, apinga madai kuwa Marekani imeharibu uwezo wa nyuklia wa nchi yake
Mashambulizi mapya ya Israel yawauwa takriban Wapalestina 21 huko Gaza licha ya kusitishwa kwa vita
Gaza inaishutumu Israel kwa wizi wa viungo kutoka kwa Wapalestina, inataka uchunguzi wa kimataifa
ICC inakataa ombi la Israel la kukata rufaa kuhusu vibali vya kukamatwa kwa Netanyahu na Gallant
Israel yapunguza upatikanaji wa misaada kwa nusu, inazuia mafuta kuingia Gaza
Mabomu ambayo hayajalipuka yana hatari 'kubwa' huko Gaza, NGO yaonya
Marekani katika kizungumkuti cha kutumia dhahabu yake kulipia deni la taifa
'Sura mpya kwa amani' — Dunia inajibu baada ya kusaini hati rasmi ya kumaliza vita vya Gaza
Viongozi wa Marekani, Uturuki, Misri, na Qatar wamesaini makubaliano yanayositisha vita vya Gaza
Kuachiliwa kwa mateka kutaanza Gaza saa 11 alfajiri, vyombo vya habari vya Israel vinaripoti
Israel inadhulumu wafungwa Wapalestina kabla ya kuachiliwa chini ya makubaliano na Hamas, video inaonyesha
Trump, Sisi kushirikiana kuandaa mkutano wa Gaza huko Sharm el-Sheikh nchini Misri
Kiongozi wa upinzani wa Venezuela Maria Corina Machado ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel ya 2025
Wapalestina 200,000 wanarejea kaskazini mwa Gaza huku wanajeshi wa Israel wakiondoka
Wanajeshi wa Marekani wawasili Israel kusaidia kufuatilia usitishaji mapigano Gaza