| swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Mzozo wasukuma nje watu 300,000 kutoka Sudan Kusini mwaka 2025: UN
Takriban watu 300,000 wa Sudan Kusini wameikimbia nchi mwaka 2025, hasa kutokana na kuongezeka kwa migogoro, Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu ilisema Jumatatu.
Mzozo wasukuma nje watu 300,000 kutoka Sudan Kusini mwaka 2025: UN
Sudan Kusini imeshuhudia michipuko ya ghasia katika siku za hivi karibuni, ambayo imesukuma watu wengi nje.
14 Oktoba 2025

Takriban watu 300,000 kutoka Sudan Kusini wamekimbia nchi mwaka 2025 pekee, hasa kutokana na mzozo unaozidi kuongezeka, Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa ilisema Jumatatu.

"Mapigano ya silaha yanaendelea kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu kusainiwa kwa makubaliano ya kusitisha uhasama mwaka 2017, huku raia wakiwa wahanga wakuu wa ukiukwaji wa haki za binadamu na kuhama makazi," Umoja wa Mataifa ulisema katika taarifa.

"Wanawake wanaendelea kuathirika kwa kiasi kikubwa, wakibeba mzigo mkubwa zaidi na hatari za kulazimishwa kuhama," taarifa hiyo iliendelea.

Mwenyekiti wa tume hiyo, Yasmin Sooka, aliwasihi viongozi wa Sudan Kusini "wasitangulize maslahi yao binafsi juu ya maslahi ya watu wao."

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Jaji Mkenya achaguliwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa
Ugonjwa wa Kichaa cha mbwa barani Afrika: Janga linaloendelea kuathiri maisha japo linaepukika
Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32
Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti
Nigeria yaanzisha uchunguzi baada ya kukamata kilo 1,000 za kokeini yenye thamani ya $235M
Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam
Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani
Kuanzia vifo vya taratibu hadi mauaji ya ukatili: Kutoweka kwa utu Al Fasher
Zaidi ya mataifa 20 yanalaani ukatili wa RSF nchini Sudan, na kutaka kukomeshwa kwa ghasia
Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi
Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari
Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’