tokea masaa 5
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Ali Mwinyi, kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Zanzibar. Mwinyi amejipatia jumla ya kura 448,892, sawa na asilimia 74.8 ya kura.
Mgombea wa chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameshika nafasi ya pili kwa kupata kura 139,399, ambazo ni sawa na asilimia 23.2.
Zilizopendekezwa
Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayojumuisha visiwa vikuu vya Unguja na Pemba, vilivyoko katika Bahari ya Hindi, mashariki mwa pwani ya Tanzania bara.
CHANZO:TRT Afrika









