Tanzania yatangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi
Polisi nchini Tanzania wametangaza amri ya kutotoka nje katika mji wa Dar es Salaam kuanzia saa kumi na mbili jioni.
Tanzania yatangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi
Taarifa ya kutotoka nje imetolewa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro. / / Wengine