| swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Wakazi Dar es Salaam, Tanzania wapata mabasi mapya ya Mwendokasi
Ni katika muendelezo wa matukio hayo ambapo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alilazimika kukutana na baadhi ya wakazi wa jiji hilo na kujaribu kutuliza hasira za wananchi, huku akiomba msamaha kwa niaba ya serikali.
Wakazi Dar es Salaam, Tanzania wapata mabasi mapya ya Mwendokasi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila aliwaomba radhi wananchi kwa niaba ya serikali. Picha/Halisi Max
2 Oktoba 2025

Kampuni ya MOFAT kwa kushirikiana na UDART imezindua mabasi mapya yatakayohudumia abiria kutoka Kimara Mwisho kuelekea Gerezani, Kivukoni na Morocco, hayo ni kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.

Kuwekwa kwa mabasi mapya katika njia hiyo, kunatarajiwa kupunguza kero ya usafiri ambayo imeshuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni.

Uzinduzi huu, unakuja saa chache baada ya watu wasiojulikana kuvamia na kuyashambulia baadhi ya mabasi ya Mwendokasi na kuyaharibu, huku kukiwa na malalamiko ya kuzorota kwa huduma hiyo.

Ni katika muendelezo wa matukio hayo ambapo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila alilazimika kukutana na baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam na kujaribu kutuliza hasira zao, huku akiomba msamaha kwa niaba ya serikali.

Awamu ya kwanza ya mabasi hayo ya mwendo kasi imekabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo uchakavu na uchache wa magari, licha ya serikali kuendelea na ujenzi wa awamu nyengine kama ile ya Kariakoo Mbagala na Kariakoo Gongo la Mboto.

Soma zaidi
Jaji Mkenya achaguliwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa
Ugonjwa wa Kichaa cha mbwa barani Afrika: Janga linaloendelea kuathiri maisha japo linaepukika
Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32
Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti
Nigeria yaanzisha uchunguzi baada ya kukamata kilo 1,000 za kokeini yenye thamani ya $235M
Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam
Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani
Kuanzia vifo vya taratibu hadi mauaji ya ukatili: Kutoweka kwa utu Al Fasher
Zaidi ya mataifa 20 yanalaani ukatili wa RSF nchini Sudan, na kutaka kukomeshwa kwa ghasia
Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi
Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari
Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’